Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TIC yabana mianya kurahisisha uwekezaji

Alhamisi , 15th Nov , 2018

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC), kinakwenda sambamba na kasi ya Rais John Magufuli katika kuziba mianya ya uwepo wa rushwa katika utumishi wa umma ili kurahisisha suala la uwekezaji nchini.

Makao makuu ya TIC.

Hilo limebainishwa na Afisa uwekezaji mwandamizi anayehusika na sera, utafiti na mipango kutoka TIC, Brendan Maro, kupitia MJADALA wa East Africa Television leo Novemba 15, 2018, ambapo amesema kwasasa suala la uwekezaji ndani ya TIC ni rahisi sana kwasababu haichukui muda na wala hakuna usumbufu.

''Mazingira ya ufanyaji biashara yameboreshwa kwa kiasi kikubwa sana ikiwemo kuwepo kwa miundombinu wezeshi kwa wawekezaji lakini pia uwepo wa wepesi wa kukamilisha zoezi lenyewe ndani ya TIC ambapo kwasasa nidhamu ya utumishi wa umma ni kubwa hata mianya ya rushwa haipo'', amesema.

Aidha Bw. Maro ameweka wazi kuwa tayari kituo hicho kimeshabaini uwepo wa elimu hafifu juu ya suala la uwekezaji ambapo wengi wanafikiri mwekezaji ni kutoka nje kumbe uwekezaji ni fursa kwa wote na upo mpango wa kuanza kupeleka taarifa sahihi kwa wananchi.

Pia ameongeza kuwa katika kuhakikisha wanawafikia wananchi wote kituo hicho cha uwekezaji kimeongeza ofisi za kikanda ukiacha Dar es salaam kwasasa kuna ofisi Dodoma na Kigoma.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani