Humprey Polepole - Katibu wa Itikadi na uenezi CCM
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Humphrey Polepole, amesema katika mageuzi yatakayofanyika hivi sasa ndani ya chama hicho yatagusa maeneo matatu ambayo ni pamoja na eneo la uongozi kwa kuweka viongozi waadilifu, eneo la pili ni mfumo ili chama kiwe na tija, na eneo la tatu ikiwa ni utawala.
Msikilize hapa Polepole akifafanua hatma ya chama hicho wakati akifanya mahojiano na East Africa Radio, wakati akiwa Kikaangoni ya EATV.......