Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tunashughulikia madeni halali" - JPM

Jumanne , 18th Dec , 2018

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amebainisha kwamba kwa sasa serikali inaendelea kushughulikia madeni halali yakiwepo ya walimu ambayo tayari wameshaanza kulipwa.

Rais John Pombe Magufuli leo akiwa katika kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM

Dkt. Magufuli amezungumza hayo mapema leo katika kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM kilichokutana jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia mafanikio yaliyofanyika kupitia CCM katika serikali ya awamu ya tano, Rais Magufuli amesema moja ya kazi kubwa iliyofanywa ni pamoja na kulipa madeni ya walimu ambayo yameshalipwa, madai ya wafanyakazi wengine na hata yale ya mifuko ya pensheni.

Ameongeza kwamba wakati anaingia madarakani alikuta serikali inadaiwa Trilion 3 kwenye mfuko wa pensheni lakini kupitia serikali yake wamepunguza mpaka kufikia takribani Bilion 200.

Pamoja na hayo amesema bado wanaendelea kufuatiia madeni mengine ikiwa ni pamoja na yale ya wasambazaji wa vitu mbalimbali mashuleni ambapo huko ndipo yalipo madeni mengine hewa ambayo yanapaswa kukomeshwa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja