Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tutakuwa na siku 3 kumshukuru Mungu" - Magufuli

Jumatano , 20th Mei , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli  amesema kuwa nchi itakuwa na siku tatu za kumshukuru Mungu kutokana na hatua ya kuiepusha na janga la Corona.

Rais Magufuli

Amesema hayo akiwa njiani mkoani Singida akitokea wilayani Chato mkoani Geita, ambapo amesema kuwa ana imani baada ya siku chache janga la Corona litapotea nchini Tanzania na kubakia kuwa historia.

"Tutakuwa na siku tatu kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kumshukuru Mungu kwa maajabu aliyoyafanya katika taifa hili, ya kutuepusha na janga la Corona na nina uhakika katika siku chache Corona itapotea Tanzania na itabakia kuwa historia", amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kufanya kazi kwa buidii na kwamba wasitishike na ugonjwa wa Corona bali wachukue tahadhari ya namna ya kuishi nao.

"Nchi yetu sasa inakwenda mbele sana, uchumi wetu unakua. Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Afrika zenye uchumi unaokwenda juu, zamani hapakuwa hata na mataa hapa Singida na hayo ni maendeleo kwahiyo tuendelee kuchapa kazi".

"Tusitishike tukubali kuishi nayo kwa sababu tumeshaishinda, na katika Mungu siku zote ushindi unakuwepo", ameongeza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala