Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uamuzi malipo ya waliopisha ujenzi Terminal III

Jumatatu , 19th Aug , 2019

Hatimaye wananchi  wa Kipunguni waliopisha upanuzi wa Jengo la tatu la Abiria katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,  wameanza kugawiwa maeneo yao hii ni baada ya kuwepo kwa mgogoro wa makubaliano kati ya kampuni ya kupima viwanja ya Tanzania Remix na wamiliki halali.

Moja ya majengo Terminal

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye, wakati akizungumza na EATV & Radio Digital na kusema kuwa, hadi sasa takribani viwanja zaidi ya 400 vilivyopo kata ya Msongola  vimekwishagawiwa.

''Sisi Tanzania Remix walitupatia baadhi ya viwanja na  bado tunawadai vichache sana na wako kwenye taratibu za mwisho za kuhakikisha,  hivyo vichache vilivyobakia kati ya 537 vinakamilika ili wananchi wale waliopisha upanuzi wa kiwanja cha ndege waweze kupatiwa viwanja vyao'',  amesema Naibu Waziri.

Serikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA), imekwishailipa Kampuni ya Tanzania Remix kiasi cha shilingi bilioni 3.7 kwa ajili ya viwanja 537,  vitakavyolipwa fidia kwa wananchi wa Kipunguni na Kigilagila waliopisha mradi huo.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi