Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa ajira kwa vijana kuongezeka 2016 - ILO

Alhamisi , 25th Aug , 2016

Shirika la Kazi Duniani ILO linakadiria kuwa ukosefu wa ajira kwa vijana kimataifa utafikia asilimia 13.1 mwaka huu wa 2016 na kusalia katika kiwango hicho hadi mwaka 2017.

Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini mkoani Dodoma, Mhe. Antony Peter Mavunde.

Ripoti mpya ya ILO ya mtazamo wa kimataifa wa ajira na kijamii 2016 ikiwalenga hasa vijana, inaonesha kwamba idadi ya vijana wasiokuwa na ajira itaongezeka kwa nusu milioni mwaka huu na kufikia milioni 71 kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitatu kushuhudia ongezeko hilo.

ILO inasema cha kusikitisha zaidi ni idadi ya vijana hasa katika nchi zinazoendelea ambao wanaishi katika hali ya umasikini ama wa wastani au wa kupindukia licha ya kuwa wanafanya kazi.

Takwimu zinaonesha kuwa vijana milioni 156 asilimia asilimia 33.7 wanaofanya kazi wako katika hali ya umasikini ama wa wastani au wa kupindukia ikilinganishwa na asilimia 26 ya watu wazima wanaofanya kazi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala