Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ulaji mbaya haufai baada ya mfungo - Prof. Janabi

Jumatano , 10th Apr , 2024

Wakati Waislam kote ulimwenguni wakisheherekea sikukuu ya EId El Fitri Prof. Janabi akifanya mahojiano maalumu na EATV anawakumbusha watu kuhusu mpangilio mzuri wa ulaji vyakula ili kulinda afya zao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amewataka watu kuendeleza na mtindo wa kula waliokuwa wakiufuata katika kipindi cha kufunga hata baada ya kipindi cha mfungo wa kwaresma na Ramadhani kuisha ili kuimarisha afya zao na kujiepusha na maradhi yatokanayo na mifumo mibovu ya ulaji chakula. 

“Kufunga hakutofautiani na maputo tunayoweka, kwa kipindi hiki kwa kupenda au kutokupenda tumeingia kwenye kula milo miwili, hii inasaidia sana” Prof. Janabi 

Aidha Prof. Janabi amewakumbusha wahudumu  wa afya kuwa jukumu lao sio kutibu tu maradhi ya watu bali pia kupunguza watu wenye magonjwa kwa kuwahimizw kujikinga na magonjwa hasa yasiyo ya kuambukizwa.

“Kinga ni bora zaidi kuliko kusubiri mpaka magonjwa yatokee, mtu anapokuja kwetu na matatizo ya moyo, saratani na mengine, tunajuuliza ni nini sisi tumefanya kama madaktari kumkinga” amesema Prof. Janabi 

Na hapa baadhi ya wananchi wanaeleza kuwa wakati mwingine wamekuwa wakishindwa kumudu kula mlo kamili kutokana na hali zao za kiuchumi kuwa duni.

“Tunakula vyakula ambavyo vina kemikali nyingi sana, kwa mafano hizi ‘energy’ tunaambiwa zinachangia kwenye magonjwa ya presha” Amesema Amani 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja