Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umaarufu wamkatili mpenzi wa Dogo Janja

Ijumaa , 23rd Feb , 2018

Video Vixen maarufu bongo anayefanya poa kwa sasa na biashara yake ya urembo 'Nai' amefungukia sababu zilizomfanya kuachana na hit maker wa 'Ngarenaro' Dogo Janja ni baada ya mwanamuziki huyo kurudi upya kwenye chat na kumpotezea.

Nai amefunguka hayo akiwa kwenye mahojiano maalum ya msimu wa Valentine na kipindi cha Planet Bongo ya EATV, ambapo amedai kwamba baada ya msanii huyo kurejea kwenye muziki 2016 na ngoma ya My Life alianza kuwa bize na hata mawasiliano yakapungua kiasi ambacho kilimfanya ajisikie vibaya na kumuomba waachane.

"Mimi na Dogo Janja tulikuwa wapenzi kweli kipindi alivyorudi rasmi kwenye muziki nikaona kama anaanza kunipotezea. Mara yupo bize mawasiliano siyo kama mwanzo. Zikaanza drama nikasema ngoja nikae pembeni maana mimi siyo maarufu kama yeye,". Nai

Mbali na hayo, Nai amesema kwa sasa yeye na mwanamuziki huyo wamebaki kuwa kama marafiki na wanaishi kama hakikuwahi kutokea kitu kwani kila mmoja kwa sasa anamahusiano mengine mapya.

Kwa sasa mrembo huyo anayependezesha  video za wasanii mbalimbali ameweka kutoka kimahusiano na msanii anayeiwakilisha Dodoma vizuri 'Moni Centrozone'

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria