Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umati wa watu waahirisha mkutano wa Lowassa Tanga

Jumanne , 29th Sep , 2015

Mkutano wa kampeni ya mgombea urais kupitia chama CHADEMA, Edward Lowassa umeahirishwa mara baada ya wananchi kujitokeza kwa wingi kumsikiliza hali iliyopelekea baadhi ya wananchi kupoteza fahamu kwa kukanyagana uwanja wa Tangamano jijini Tanga.

Kampeni za mgombea urais kupitia UKAWA akiwa amezungukwa na Umati wa Watu jana Jijini Tanga ambapo mkutano wake Uliahirisha kutokana na msongamano

Wananchi hao walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuonyesha nia ya kuhitaji mabadiliko na kumkubali Lowassa kuiongoza Nchi kwa madai kuwa wamechoshwa na sera za Chama Cha Mapinduzi CCM za ahadi zisizotekelezeka.

Sambamba na hayo baada ya mkutano huo kuahirishwa wananchi waligoma kuondoka katika viwanja hivyo kutokana na kuhitaji Lowassa ahutubie hali iliyomlazimu mgombea huyo kuzungumza na wananchi kwa muda mfupi na kuwaahidi wananchi kuwa hatowaangusha endapo atapata ridhaa ya kuiongoza nchi atahakikisha anapambana na umasikini pamoja na kufanya mabadiliko katika kila sekta.

Aidha ameongeza kuwa kama atapata ridhaa ya kuiongoza nchi atahakikisha ndani ya miezi tisa ya mwanzo anafufua bandari ili iweze kufanya kazi kwa masaa yote tofauti na inavyofanya kazi sasa pamoja na reli ya kutoka Tanga mpaka Musoma mkoani Mara kupitia Arusha.

Kwa upande wake waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amewaomba wakazi wa mkoa wa Tanga kumpa kura za ndio Lowassa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu na kuachana na ahadi zisizotekelezeka.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria