Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umoja wa Afrika watoa kauli maandamano ya Kenya

Jumanne , 28th Mar , 2023

Umoja wa Afrika umetoa wito wa utulivu na kutoa wito wa kufanyika mazungumzo kufuatia maandamano ya upinzani nchini Kenya ambayo yamegeuka kuwa vurugu na kusababisha vifo vya watu watatu tangu wiki iliyopita.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameitisha maandamano ya kupinga gharama kubwa ya maisha na kile anachokiita haki ya uchaguzi baada ya uchaguzi wa mwaka jana.

Katika taarifa, Mwenyekiti wa AU Moussa Faki Mahamat aliwataka  wadau kuwa watulivu na kushiriki katika mazungumzo ili kushughulikia tofauti zozote.

Alisema mwenendo wa uchaguzi wa mwaka jana ulifanikiwa na matokeo kuthibitishwa na Mahakama ya Juu.

"Mwenyekiti anasisitiza mshikamano wa jumla na kuunga mkono juhudi za serikali na watu wa Kenya zinazofanya kazi kuelekea umoja wa kitaifa, amani na utulivu nchini," ilisema taarifa hiyo.

Viongozi wa kidini wa Kenya pia wametoa wito wa mazungumzo yasiyo na masharti kati ya Rais William Ruto na Bw Odinga.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu