Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Unyanyasaji wa kijinsia tatizo Jumuiya ya Madola

Jumatatu , 28th Jul , 2014

Mkutano wa Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika umemaliza Mwishoni mwa wikii hii jijini Arusha huku swala la unyanyasaji wa kijinsia na elimu kwa mtoto wa kike vimelezwa kuwa tatizo katika nchi nyingi za umoja huo.

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wabunge wanawake wa nchi za Jumuiya ya madola kanda ya kaskazini, Beatrice Shelukindo.

Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wa 45 wamesema pamoja na kuwa nchi nyingi zimepiga hatua katika kufikia malengo ya millennia, bado Afrika inakabiliwa na vikwazo kadhaa vinavyo kwamisha mtoto wa kike kupata elimu sawa na mtoto wa kiume.

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wabunge wanawake wa nchi za Jumuiya ya Madola kanda ya kaskazini, Beatrice Shelukindo, amesema kumekuwa na vitendo vya kikatili kwa nchi nyingi kutokana na sera na sheria nyingi kutofautiana lakini vitendo hivyo havitakiwi kufumbiwa macho.

Wakati huo huo, Watanzania wanaofanya kazi kwenye makampuni ya kigeni wametakiwa kuonesha uaminifu pamoja na juhudi ya kazi ili kuvutia idadi kubwa ya wawekezaji kuja kuwekeza nchini.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene amesema hayo jana jijini Dar es Salaam na kufafanua kuwa hatua hiyo itaendeleza sifa nzuri ya Tanzania kuwa ni nchi yenye mazingira mazuri ya uwekezaji katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Kwa mujibu wa Naibu Waziri Mbene, kwa miaka mingi kumekuwa na sifa mbaya kwamba Watanzania hawana nidhamu ya kazi, hawaamini kiasi cha kuwapa wawekezaji sababu ya kuajiri wafanyakazi wengi wa kigeni na Watanzania kubaki wakihangaika kutafuta ajira.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani