Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UVCCM, wataka CUF wachukuliwe hatua

Jumanne , 12th Apr , 2016

Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM, umevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuilinda Zanzibar, kwa kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kutaka kumchukulia hatua yoyote atakaye sababisha kuvunjwa kwa Katiba.

Kaimu katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka

Akizungumza akiwa ziarani Jijini Arusha Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja huo Shaka Hamdu Shaka,amesema kufuatia kutolewa kwa maazimio ya baraza kuu la Wananchi CUF, la kuwataka wananchi wa Zanzibar kutotoa ushirikiano kwa serikali ya rais Dkt. Ali Mohammed Shein.

Shaka amesema kuwa lazima ifike wakati wanasiasa wawe na mipaka na viwango vya kuheshimua katiba na kuheshimu sheria ikiwa ni pamoja na kuwa na mipaka ya kuzungumza baadhi ya mambo kuhusu taifa.

Aidha Kaimu Katibu Mkuu huyo ameongeza kuwa kitendo cha kuwataka wananchi kutoitambua serikali hiyo ni uhaini na hivyo vyombo vya ulinzi na usalama viweze kuchukua hatua stahiki juu ya suala hilo.

Shaka amesema kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein ni rais halali wa Zanzibar kwa Mujibu wa katiba na mujibu wa sheria kwa kuchaguliwa kihalali na wananchi wa visiwa hivyo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea