
Rais Samia akihutubia kwenye maadhimisho ya Nanenane jijini Mbeya
Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 8, 2022, jijini Mbeya wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane.
"Niwaambie vijana njooni kwenye sekta ya kilimo tumejipanga kuwapatia mashamba na yatakuwa na hati na zitatoka kwa majina ya vijana watakaokuja, pia tumejipanga kuwaunga na mabenki ili mpate mikopo kwa riba nafuu," amesema Rais Samia