Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana watakiwa kuacha skanka kunusuru maisha yao

Jumanne , 2nd Apr , 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kuacha kutumia dawa za kulevya hususani bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi iitwayo Cha Arusha na Skanka akisema aina hii ya bangi huwafanya wawe Vichaa na itawapoteza kwenye muelekeo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Kilimanjaro leo April 02, 2024 Waziri Mkuu Majaliwa amesema dawa za kulevya aina ya bangi na mirungi zimeendelea kutumiwa kwa wingi hapa nchini.

"Hivi karibuni kumeibuka aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kama #ChaArusha pamoja na #Skanka aina hii ya bangi yenye sumu nyingi huchanganywa kwenye sigara lakini ukishaitumia Watumiaji wanabadilika na kuwa Vichaa”

“Ni wakati mzuri sasa vijana ambao mmekuwa mkitumia Cha Arusha na Skanka muache ili kunusuru maisha yenu, vijana mnahitajika katika Taifa hili, vijana ndio mtakaolijenga Taifa hili, Vijana ndio muelekeo wa Taifa hili Cha Arusha na Skanka zitawapoteza kwenye muelekeo na mtalifanya Taifa hili likakosa Watanzania” alisisitiza Waziri Mkuu

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala