Jumatatu , 16th Nov , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo Novemba 16, 2020 anamwapisha, Mh. Kassim Majaliwa Kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Aidha Rais Magufuli pia atawaapisha Dkt. Philip Isdor Mpango, kuwa Waziri wa Fedha na Mipango.
Pia Magufuli atamwapisha Prof. Palamagamba Kabudi Kuwa Waziri wa Mambo ya Nje.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Ikulu leo, shughuli hiyo ya uapisho itaanza saa 4:00 asubuhi hii.