Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahujuma uchumi waanza kuachiwa

Jumatatu , 23rd Sep , 2019

Hatimae Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeanza kutimiza ombi la Rais Magufuli kwa kuwaachia na kuwafutia mashtaka wafungwa waliokuwa wakikabiliwa na makosa ya uhujumu uchumi.

Leo Septemba 23, Mahakama hiyo imewaachia huru washtakiwa watano waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi kwa makosa ya kujiunganishia bomba la mafuta ambalo ni mali ya Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) kinyume cha taratibu.

Uamuzi huo umefikiwa mara baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza Mahakama kuwa hana nia ya kuendelea na kesi hizo.

Walioachiwa huru na mahakama hiyo ni Audai Ismail (43) mkazi wa Kibaha, Chibony Emmanuel, Roman Abdon, Amina Shaban na Zubery Ally.

Kwa mara ya kwanza washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama hiyo Januari 16, 2019, kujibu mashtaka matatu likiweno la kujiunganishia isivyo halali bomba la mafuta mali ya TPA, ambapo kwa pamoja wanadaiwa kati ya mwaka 2015 hadi Januari 2018 katika eneo la Tungi Muungano Wilayani Kigamboni, wanadaiwa kujiunganishia bomba la mafuta ya Dizeli
lenye upana wa inchi moja kutoka katika bomba lenye upana wa inchi 24 bila kibali.

Shtaka la pili lilikuwa ni la kuharibu miundombinu kwa madai ya kuwa walitoboa bomba hilo ambalo lilikuwa likitumika kusafirisha mafuta, pamoja na kudaiwa kuharibu bomba la mafuta mazito lenye upana wa inchi 28 la kusafirishia mafuta ghafi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita