Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wajumbe wa Seneti wa Ufaransa waipongeza Tanzania

Jumapili , 21st Feb , 2021

Wajumbe wa Bunge la juu la Ufaransa (SENATE) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika eneo la maziwa makuu hususani katika maeneo ya Mashariki ya Kongo pamoja na eneo la kaskazini mwa Msumbiji.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi

Wajumbe hao ambao pia ni kundi la wabunge marafiki wa Tanzania wametoa pongezi hizo wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi alipotembelea bunge hilo na kuongeza kuwa kupitia Jumuiya za kikanda ikiwemo SADC Tanzania imekuwa kiongozi katika kuhakikisha amani kaskazini mwa Msumbuji na kwamba wajumbe hao wako tayari kuunga mkono jitihada hizo

Katika jitihada za maendeleo zinazofanywa na Tanzania wajumbe hao wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa jitihada zake za kujenga uchumi imara nakusema kuwa wako tayari kuhamasisha watalii wengi kutoka Ufaransa na Ulaya kwenda Tanzania ili kuifanya sekta hiyo kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa Tanzania.

Katika hatua nyingine Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amezungumza na uongozi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa ambalo limeonesha utayari wa kushirikiana na Tanzania katika masuala ya maendeleo vijijini .

“Katika mazungumzo yetu ya leo tumeangalia maeneo mbalimbali ambayo wapo tayari kushirikiana na Tanzania ambayo ni maendeleo vijijini kwa maana ya umeme, barabra na maji vijijini  lakini pia wameonyesha utayari wakushirikiana na Tanzania katika kutoa mikopo na misaada katika kuimarisha na kukuza uchumi wa bluu” amesema Prof.Kabudi 

Prof Kabudi yupo Paris Nchini Ufaransa kwa ziara ya siku nne kutokana na mwaliko wa Waziri wa Ulaya na mambo ya Nje wa Ufaransa ambapo pia anaitumia fursa hiyo kukutana na makundi ya wafanyabiashara pamoja na taasisi za serikali na binafsi za ufaransa kuhamasisha masuala ya uwekezaji na biashara nchini Tanzania.

 

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria