Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakurugenzi waomba ulinzi utangazaji matokeo

Jumanne , 29th Sep , 2015

Wakurugenzi watendaji wa halmashauri za mikoa ya Njombe na Ruvuma wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha wakati wa uchaguzi ili kulinda maisha yao baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi.

Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu

Hayo yamebainishwa katika semina ya siku mbili ya kuwakumbusha wakurugenzi na wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi ya wilaya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Njombe kwa kanda ya nyanda za juu Kusini yaliyoendeshwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mwishoni kwa wiki hii.

Wakurugenzi hao wameomba ulinzi wakati wa kuanza uchaguzi na baada ya kutangaza matokeo kwa muda ili kuwaweka salama kwa kuwa matokeo ya uchaguzi yanakuwa yameumiza upande fulani kwa kuwa kuna ushindi na upande utashindwa.

Akiuliza swali kwa tume ya uchaguzi taifa NEC Mkurugenzi wa halmashauri ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Ally Mpenye, amesema kuwa wamekuwa na wasiwasi wakati wa kutangaza matokeo hivyo tume na serikali kwa ujumla ihakikishe kuwa watumishi na wahusika wa utangazaji wa matokeo wanahakikishije ulinzi wa kutosha wakati wote wa uchaguzi.

Akizungumza na waandishi wa habari Afisa wa uchaguzi Kanda ya nyanda za juu Kusini Jane Tungu amesema kuwa tume ratiba yake inasema kuwa kuna vifaa vina wahi katika vituo lakini kama karatasi za kupigia kura hazina haja ya kuwahi kufika katika vituo ndio maana zinapelekwa siku moja kabla ya kupiga kura.

Kwa upande wake mgeni rasmi aliyefungua semina hiyo Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Njombe Rehema Nchimbi amesema wasimamizo wakakikishe kuwa hawafanyi kazi kwa mazoea bali wafanye kazi hiyo kwa uzoefu wa kuelewa kanuni za uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala