Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakurugenzi watakiwa kushiriki ujenzi mipango miji

Alhamisi , 30th Apr , 2015

Wakurugenzi wa Manispaa Nchini wametakiwa kuanzisha Ushirika wa wananchi kwa ajili ya kupanga miji yao wenyewe kwa ajili ya kuboresha miji na majiji kwa haraka hapa nchini.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Edwin Kiliba wakati akiongea na makatibu tarafa na wakurugenzi 19 waliokwenda nchini Japan kwa ajili ya mafunzo ya maboresho kwa watendaji wake kwa mikoa minne ya Dar esalaam, Mtwara, Lindi na mji wa Tunduma.

Amesema kuwa ni lazima sasa watanzania waige kwa waliofanikiwa katika kupanga miji yao kama nchi ya Japan ambapo wananchi wake huungana katika ushirika na kupanga miji yao kwa kujenga barabara, Zahanati, kufanya usafi, na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kiliba pia amewataka Watendaji hao kuhakikisha halmashauri zao zinakusanya kodi kwani Japan halmshauri hukusanya kodi kwa 67% na hutegemea 33% toka serikali kuu wakati hapa Nchini halmashauri hupata 95% ya bajeti yao toka Serikali kuu,

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi