Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanachama CCM wavamia ofisi za mwenyekiti Rukwa

Ijumaa , 7th Aug , 2015

Baadhi ya wakazi wa manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa chama cha Mapinduzi, jana wameivamia ofisi ya chama hicho ya wilaya ya Sumbawanga mjini,

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Rukwa Ndugu Hiporatus Matete akizungumza kwenye ufunguzi wa semina.

Wananchi hao wametoa samani zote zilizoko kwenye ofisi ya mwenyekiti wa wilaya hiyo na kuzitupa nje, kwa kumtuhumu kuwa ameongoza vikao vilivyokata jina la mbunge anayemaliza muhula wake Aeshi Hilal aliyeshinda kwenye kura za maoni.

Wakiongea kwa jazba mbele ya ofisi hizo za CCM, Wilaya ya Sumbawanga kwenye barabara ya sokoine mjini Sumbawanga, wamesema hata siku moja hawawezi kuvumilia vitendo vinavyofanywa na Mwenyekiti wa CCM, wa wilaya hiyo Bw, Selemani Kilindu kwa chuki binafsi.

Mmoja wa wajumbe wa kamati ya siasa ya CCM, wilaya ya Sumbawanga mjini Bw, Enos Budodi, amepata wakati mgumu mno akijitahidi kuwatuliza bila ya mafanikio kuwa haki lazima itendeke.

Katika hali inayoashiria kuwa mambo si shwari hata kwenye jimbo la Kwela wilaya ya Sumbawanga vijijini, ni jinsi baadhi ya wagombea wa jimbo hilo walivyolaani kitendo cha Katibu wa CCM, wa wilaya hiyo Bw, Albert Stima, kutangaza matokeo kinyume cha makubaliano ya awali, kwamba hadi matokeo ya kata mbili zilizosalia yapatikane, na kusema kuwa wanakusudia kuwasilisha malalamiko yao kwenye vikao vya juu

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross