Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi walalamikia tafiti kuchukua muda mrefu

Jumatano , 10th Dec , 2014

Wananchi wilayani Ruangwa mkoani Lindi wameitaka serikali kuchukua hatua juu ya mwekezaji wa Kampuni ya Utafiti wa Madini, mkoani humo baada ya kufanya utafiti huo miaka sita bila kutoa ripoti yoyote wala kuchangia miradi yoyote ya maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Aggnes Hokororo.

Wakizungumza wananchi hao wamesema kwa miaka sita wameshudia maroli yakiondoka na udongo katika eneo hilo na hakuna taarifa yoyote juu ya mafaniko ya utafiti huo zaidi ya kuona wanaibiwa rasilimali zao bila faida yoyote.

Akizungumzia hali hiyo mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Rubeni Mfini amekiri kuwepo kwa kampuni hiyo na kusema kuwa inakuwa vigumu kutatua mgogoro huo kutokana na kukosekana ofisi ya madini katika wilaya hiyo.

Aidha mkurugenzi huyo amesema kuwa kilio cha wananchi hao walishakipeleka kwa mkuu wa wilaya hiyo Mh. Agness Hokororo, ambaye tayari ameshamwandikia Katibu Mkuu ambaye amesema kuwa Waziri wa Nishati na Madini atatembelea eneo hilo ili kutatua mgogoro huo.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi