Mkuu wa wilaya ya Temeke Godwin Gondwe.
Akiongea na EATV leo, Gondwe amesema wananchi wamekuwa wakikabiliwa na matatizo mengi lakini walikuwa wanashindwa kupata huduma kwa karibu lakini kwa kipitia utoaji wa huduma hizo wameweza kutatua changamoto zao.
Kwa upande wao wananchi wanaopata huduma katika eneo hilo la one stop jawabu wameeleza namna walivyonufaika na huduma hizo ikiwemo upimaji wa magonjwa kama ya saratani