Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanasiasa ingieni kanisani mkinyenyekea" -Mndolwa

Jumatatu , 13th Jul , 2020

Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglicana Tanzania, Maimbo Mndolwa, amewataka wanasiasa kuacha tabia ya kuingiza siasa kwenye nyumba za ibada, badala yake wayavue makoti yao ya siasa pindi wanapoingia kwenye nyumba hizo ili kuendelea kuidumisha amani iliyoachwa na waasisi wa nchi.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglicana Tanzania, Maimbo Mndolwa.

Kauli hiyo ameitoa akiwa Jijini Mwanza wakati wa ibada maalumu ya kuliombea Taifa, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Nicholas, na kusema kuwa kwenye viwanja vya siasa kukichafuka, machafuko hayo huhamia kanisani.

"Enyi waumini mlio wanasiasa tuwaombe mnapooingia kanisani makoti yenu ya siasa yaacheni mlangoni, ingieni kama waumini kwa unyenyekevu mkijua kanisani ndipo mamlaka yake, mamlaka za nje zitumike huko, tusidhalilishane, kuoneana na tusilete kejeli za viwanjani na vijiweni kanisani kwa sababu ya siasa, kanisani ni mahali pa kumuabudu Mungu" amesema Askofu Mndolwa.
 
Katika hatua nyingine Askofu Mndolwa akawataka wagombea wanawake kuacha kutumia miili yao kwa ajili ya kupata uongozi, na badala yake wafate taratibu na kanuni zilizowekwa ili waweze kuwa viongozi wenye kutambua majukumu yao na kuwa na hofu ya Mungu.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu