Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaume tunaoa kwa sababu ya tamaa" - Dkt Mwaka

Jumatatu , 6th Jul , 2020

Daktari wa Tiba Mbadala na Mkurugenzi wa ForePlan International Juma Mwaka maarufu kwa jina la Dkt Mwaka, amesema kuwa mara nyingi wanaume huamua kuoa kwa tamaa zao binafasi ili kujiepusha na uzinifu na kwamba, hakuna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja.

Dkt Juma Mwaka.

Dkt Mwaka ametoa kauli hiyo siku za hivi karibuni, wakati akizungumza kwenye kipindi cha MamaMia cha East Afrika Radio na kuongeza kuwa hata yeye alipoamua kuwa na wanawake watatu, hakuna kitu cha ziada kilichomsukuma kuwa nao wote isipokuwa tamaa tu.

"Mara nyingi wanaume tunaoa kwa sababu ya tamaa, unamuona binti unavutiwa naye sasa kama si mtu mwenye kupenda uzinifu, njia pekee ni kuoa lakini kiukweli kinachotusukuma mwanzoni ni matamanio tu, mimi mke wangu wa pili na watatu sikutazama vigezo lakini nashukuru Mungu naishi nao vizuri na hakuna mwanaume atakayeoa halafu akuambie hatamani mwingine huyo ni mnafiki" amesema Dkt Mwaka.

Aidha Dkt Mwaka ameongeza kuwa wanaume wote wana tamaa ila kinachofanyika ni wao kujizuia pekee na kwamba kama sheria ingekuwa inaruhusu hata wake 20, basi wanaume wengi wangeoa idadi sawa na hiyo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea