Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake na viongozi waongoza kwenda kwa Waganga

Jumatatu , 16th Sep , 2019

Mwenyekiti Kijiji cha Mlingotini, maarufu kama Kijiji cha 'Wachawi' Hassan Pembe, amesema Kijiji chake kimekuwa kikitembelewa na watu mbalimbali, kwa nia ya kupata huduma za kienyeji.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo miongoni mwa makundi yanayoongoza kwenda kupata huduma hiyo, ni kundi la wanawake na viongozi wa kisiasa, ambao wengi wao wanafika ili kupewa tiba.

Akizungumza katika Kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, Mwenyekiti Hassani Pembe, amesema kuwa "Kiuhalisia wanawake ndiyo wengi wanaongoza kuja hapa kwa ajili ya kupata huduma za kienyeji."

"Kuna watu maarufu wanaokuja hapa kupata huduma, utakuta Waziri na viongozi wa kisiasa wamekuja hapa jambo lake limefanikiwa basi yeye anatupa shukrani ya kutujengea barabara au kutuletea umeme." amesema Mwenyekiti Pembe.

Fuatilie mahojiano kamili hapo chini

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu