Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wagombea uongozi wakumbana na vikwazo

Jumanne , 13th Oct , 2015

Pamoja na ongezeka kubwa la wanawake kujitokeza kwa wingi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu bado kuna changamoto na vikwazo vingi vinavyomkabili hasa mgombea mwanamke,ambavyo tayari vimeshawasilishwa kwenye tume ya uchaguzi(NEC) kwa ajili ya utatuzi.

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dr Helen Kijo Bisimba.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na wakili wa dawati la jinsia na watoto kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu nchini (LHRC)Bi. Naemy Silayo kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo wanawake wagombea katika mchakatowa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika 25 mwezi na kuongeza kuwa tayari wameanza kushughulikia changamoto mbalimbali wananzokutana nazo wagombea wanawake.

Aidha Bi Naemy ameongeza kuwa kwa upande mwingine katika tafiti zao mbalimbali wanazofanya juu mchakato unaoendelea kuelekea uchaguzi mkuu wamebaini mapungufu mengine ya ukosefu wa rasilimali pesa katika kujitangaza zaidi na kuvitaka vyama viwape kipaumbele wanawake wenye nia ya kugombea.

Kwa upande wao washiriki wa mafunzo hayo Bi. Godliver Manumbu amesema kuwa changamoto kubwa inayomkabili mwanamke ni uhitaji wa rasimali ambazo wanawake wengi hawana na hizi zinapelekea uchaguzi huu usiwe huru na wa haki kwa mwanamke.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi