Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wataalamu watakiwa kusimamia vyema miradi

Alhamisi , 4th Aug , 2016

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI,Mhe. Seleman Jaffo, ametoa wito kwa wataalamu wa Mazingira kusimamia vyema mradi wa ujenzi wa madampo ya kisasa na uboreshaji wa usafi katika Majiji saba nchini ili kuondoa kero ya uchafu.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI,Mhe. Seleman Jaffo.

Naibu Waziri Jaffo ametoa kauli hiyo jijini Arusha wakati akikabidhi mitambo ya Usafi na ujenzi wa madampo pamoja na kufungua semina ya siku saba ya wataalamu wa mazingira na usafirishaji kutoka majiji Saba nchini Tanzania.

Mhe Jaffo ameuzungumzia mradi huo unaotekelezwa n wizara yake kwa ufadhili wa Benki ya Dunia pamoja na miradi mingine isimamiwe vyema huku akionyesha kutoridhishwa na ujenzi wa stand ya Korogwe mkoani Tanga ambayo imegharimu mamilioni ya shilingi.

Aidha Mhe Jaffo amewataka watendaji wa na watalaamu wa Jiji la Arusha kwa kuwa ndio kitovu cha Utalii nchini hivyo madhari ya jiji hilo yatazidi kuvutia zaidi watalii kuja nchini.

Pia Naibu Waziri huyo amewata wataalamu hao mara baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo watumie ujuzi wao kwenda mkoani Dodoma kwa ajili ya kuuweka mji huo safi kwa kuwa ndio yatakuwa makao makuu ya serikali.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi