Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watahiniwa 2,194 wafutiwa matokeo yote

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limefuta matokeo yote ya watahiniwa 2194 sawa na asilimia 0.16 ya watahiniwa milioni 1.35 waliofanya mitihani, baada ya kubainika wamefanya udanganyifu katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2022.

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Ramadhani Amasi.

Hayo yamebainishwa hii leo Desemba Mosi, 2022, jijini Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Ramadhani Amasi.

"Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limefuta matokeo yote ya watahiniwa 2194 sawa na asilimia 0.16 ya watahiniwa milioni 1.35 waliofanya mitihani, ambao wamebainika kufanya udanganyifu katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi 2022" amesema Kaimu Katibu Mtendaji

Aidha Baraza hilo pia limevifungia vituo 24 vilivyothibitika kufanya udanganyifu, "Baraza la mitihani limevifungia vituo vya mitihani 24 ambavyo vimethibitika kupanga na kufanya undanganyifu katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2022 na vimefungiwa hadi hapo Baraza litakapojiridhisha ni salama kwa uendeshaji wa mitihani ya kitaifa,".
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala