Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaofanya ubaguzi kibiashara kufungiwa Z'bar

Jumatano , 27th Jan , 2016

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibari imesema itawafungia na kuwapokonya leseni wafanyabiashara watakaobainika kubagua wananchi kwa kisingizio cha kisiasa.

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed.

Kauli imekuja kufuatia taarifa kuzagaa ya kwamba tokea kutolewa tamko la kuridiwa uchaguzi kuna baadhi ya wafabiashara visiwani hawauzi baadhi ya watu wanapokwenda kwenye maduka hayo.

Tamko hilo limetolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa pili wa rais Mhe. Mohammed Abood Mohammed alipokua akizungumza na viongozi wa kiserikali wa mkoa wa kusini Pemba.

Aidha Mhe Abood amesema kuwa serikali imejipanga kuweka ulizni wa kutosha ili kuhakikisha amani na utulivu inadumu wakati wote wa Uchaguzi ,kuhesabu kura na hata baada ya Uchaguzi.

Hapo awali viongozi hao wa serikali wakiwemo mashekha pamoja na wazee wa CCM kumuomba waziri huyo kuweka ulizni wa kutosha wakati wa uchaguzi hasa katika maeneo ya vijijini.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi