Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watano wakamatwa kampeni za CHADEMA na CCM

Jumapili , 25th Oct , 2020

Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kufanya fujo, kujeruhi na kusabababisha uharibifu wa mali,wakati msafara wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na chama cha Mapinduzi (CCM) walipokutana njiani wakitoka kwenye mikutano ya kampeni.

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba

Vurugu hizo zilitokea jana majira ya saa moja jioni wakati msafara wa mgombea ubunge wa CCM Patrobas Katambi na mgombea ubunge wa CHADEMA Salome Makamba kukutana eneo la Japanise Corner nakuibua fujo ikiwemo kuharibu magari.

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba amewataja wanaoshikiliwa kuwa ni Ramadhan mohammed(20), Yuda Kanoku(22), Frank Chiza(20), Timoth Amos(20) na Mussa Luhende(21) wote wakiwa wakazi wa Mkoa wa Shinyanga.

Pia Kamanda huyo amesema kuwa katika vurugu hizo Hasani Masanja(28) mkazi wa Mtaa wa Majengo alijeruhiwa na kitu chenye ncha kali kidevuni huku gari ya matangazo ya mgombea ubunge CCM lilivunjwa vioo vyote na magari mengine mawili yaliharibiwa pamoja

Aidha kamanda Magiligimba ametoa wito kwa wanasiasa pamoja na wafuasi wao kuacha kufanya maandamano baada ya mikutano ya kampeni.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria