Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania watakiwa kuwa waangalifu na mitandao

Ijumaa , 24th Apr , 2015

Watanzania wametakiwa kuwa waangalifu kwenye matumizi ya teknolojia ya mitandao ya kijamii ili wasiweze kuingia kwenye matatizo na mamlaka za kisheria.

Maria Sasabo (mwenye kofia) akimueleza jambo mkuu wa mkoa wa Njombe Rehema Nchimbi (kushoto).

Wito huo umetolewa leo na meneja wa mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) kanda ya kati Maria Sasabo wakati akizungumza na East Afrika Radio ofisini kwake mjini Dodoma.

Sasabo amesema baadhi ya watu nchini wamekuwa wakiitumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuwatapeli watu hali ambayo huwafanya wengi wao kuishia mikononi mwa vyombo vya dola.

Alisema teknolojia ya mawasialino imeletwa ili kuwarahisishia watu mawasiliano nchini pamoja na ulimwenguni kwa ujumla lakini kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiitumia kinyume kwa ajili ya kuwatapeli watu wengine.

Kwa upande wake mhandisi Charles Ambele kutoka mamlaka ya mawasiliano kanda ya kati amewatahadharisha watanzania kutoweka taarifa zao muhimu wakati wa kujiunga na mitandao ya kijamii kwani mara nyingi wahalifu wa mitandao hutumia taarifa hizo kuwatapeli watu husika.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani