
Mbunge wa Mvumi Livingstone Lusinde
Lusinde ametoa kauli hiyo hii leo Juni 20, 2022, Bungeni jijini Dodoma, na kuongeza kwamba miaka ya nyuma wengi ambao walikuwa wanahamishwa kupisha maeneo ya uhifadhi walikuwa wengine wanatembea kwa miguu.
"Rais hili jambo amefanya la kibinadamu na utu sana na hakuna katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watu walioweza kuhama kwa raha kama wale wanaohamishwa kutoka Ngorongoro,"amesema Lusinde
Tazama video hapa chini