Watu wenye ulemavu wakihamasisha ujenzi wa vyoo rafiki mashuleni
Akizungumza na kurasa Mkurugenzi wa taasisi hiyo Sophia mbeyela amesema kwa sasa serikali imejitahidi kuingiza watoto wenye ulemavu mashuleni lakini kumekuwa na changamoto ya vyoo hali inayowapa shida wanafunzi hao wakiwa shuleni.
Naye mmoja wa wazazi Agnes Kaguo Mbeyela ametoa wito kwa Serikali kuhakikisha wanaweka utaratibu wa kuwatambua watoto wenye ulemavu katika kila Kaya ili kuweza kuwapatia msaada badala ya kuwaweka barabarani kuombaomba.