Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wa Umma watakiwa kuwekewa mazingira bora

Alhamisi , 23rd Jun , 2016

Maafisa na Watendaji mbalimbali wa Utumishi wametakiwa kuwawekea mazingira mazuri watumishi wengie wa Umma ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ukamilifu na kwa wakati.

Waziri wa nchi Ofisi ya rais na Utawala Bora. Mhe Angela Kairuki,

Akizungumza katika maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma, Jijini Arusha, Waziri wa nchi Ofisi ya rais na Utawala Bora. Mhe Angela Kairuki, amesema kuwa watumishi wa Umma wanatumia muda mwingi kuwahudumia wananchi hivyo ni lazima wawe na mazingira mazuri ya ufanyaji kazi.

Mhe. Kairuki amesema kuwa Maafisa na Watendaji mbalimbali waliopewa dhamana hawatekelezi dhamani ya nafasi zao kama walivyokusudia huku wengine wakiwajali zaidi wateja wao wa nje kuliko wateja wa ndani ambao ni watumishi wa umma.

Aidha Waziri huyo amewataka watumishi wa Umma kutokuogopa kutoa taarifa kwa mamlaka husika endapo wanapoona kuwa hawatendewi haki katika maeneo yao ya kazi ili hatua za haraka zichukuliwe.

June ya Wiki ya Utumishi wa Umma, imeanza kuadhimishwa kuanzia June 16 ambapo kilele chake ni leo June 23.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi