Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wavaa nusu utupu wapatiwa kazi

Alhamisi , 22nd Feb , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Rehema Madusa, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwakamata na kuwapa adhabu ya kufyatua tofali vijana wanaovaa mavazi yasiyokuwa na staha hadharani.

Bi. Madusa ametoa agizo hilo wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika stendi ya mabasi wilayani humo ambapo amesema tofali hizo zitatumika kuboresha makazi ya askari.

Aidha amesema dawa imepatikana kwa  baadhi ya vijana wa kike ambao wamekuwa wanavaa nusu uchi hadharani na wanaume wanaovalia mlegezo na kuagiza wakamatwe na waoneshwe sehemu ya kufyatulia matofali yatakayotumika kwa ajili ya ujenzi wa vyoo na nyumba za polisi.

“Hawa wanaotembea barabarani nusu uchi basi wakiona vizuri basi watoe zote watembee uchi kabisa tujue moja, jeshi la polisi kamateni watu hawa pelekeni waende wakafyatue tofali kwa ajili ya kujenga nyumba za polisi,” Madusa

Hata hivyo amesema hata wanaokunywa pombe nyakati za kazi na wale wanaopiga debe bila kufuata utaratibu uliowekwa wataunganishwa pamoja kusaidia kufyatua tofali hizo.

“Wote hawa mimi nawaweka katika kundi moja kuanzia wacheza pool table, wapiga debe wanaovaa nguo zisizokuwa na staha na wale wanaovaa nguo nusu uchi, naagiza polisi na wananchi kamateni hawa wakasaidie ujenzi,”amesema.

Hata hivyo ameliagiza jeshi la polisi kushirikiana na wananchi kudhibiti  matukio ya uhalifu ikiwemo vitendo vya ujambazi na usalama barabarani.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria