George Kakunda
Wakati wa kukabidhi, Kakunda amempa maelekezo ya kuzingatia waziri mpya awapo kwenye majukumu yake, ikiwemo kujua vizuri bajeti ya wizara yake pamoja na sheria na kanuni zinazomwongoza.
#VIDEO Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Joseph George Kakunda akitoa maelekezo kwa Waziri mpya wa wizara hiyo Innocent Bashungwa wakati wa kukabidhi ofisi leo Juni 12, 2019. pic.twitter.com/xb7jP9Xz90
— East Africa TV (@eastafricatv) June 12, 2019
Kwa upande wake waziri mpya Innocent Bashungwa, amewaambia wafanyakazi wa wizara hiyo kuzingatia na kufanyia kazi maagizo ya Rais Ndugu Magufuli Jumapili hususani viwanda vilivyobinafisishwa.
#VIDEO Waziri mpya wa wizara ya Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa wakati akikabidhiwa ofisi za wizara na aliyekuwa Waziri Joseph George Kakunda. Bashungwa amesema ni muhimu kufanyia kazi maagizo ya Rais @MagufuliJP hususani viwanda vilivyobinafisishwa. pic.twitter.com/iwdudOpZlW
— East Africa TV (@eastafricatv) June 12, 2019