
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene.
Simbachawene ameyabainisha hayo akiwa mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi, na kusema wanasiasa wasitumie wananchi kujitafutia umaarufu wa kisiasa na kuwa wana jukumu la kuhakikisha kila hatua wanayoifanya haileti madhara kwa wananchi.
Tazama video hapa chini