Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Majaliwa, hali ya sasa ya Corona nchini

Jumapili , 24th Mei , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mpaka sasa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ujumla wake, umebaki na wagonjwa wa Virusi vya Corona 13, Kibaha wamebaki wagonjwa 16 na Mkoani Dodoma katika kituo cha Mkonze wamebaki wagonjwa 3.

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu ameyabainisha hayo leo Mei 24, 2020, wakati akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislam mara baada ya kumaliza kuswali Sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. 

"Nafurahi kuwaambia kuwa taarifa ya Daktari Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, leo asubuhi Hospitali ya Amana imebaki na mgonjwa mmoja, Mloganzila amebaki mmoja, Temeke hatuna mgonjwa wa Corona, Kairuki, Rabininsia na Regency hakuna mgonjwa, katika Hospitali ya AgaKhan tunao 11, 4 wako chini ya uangalizi wa Daktari, Kibaha wamebaki 16, na Dodoma katika Kituo cha Mkonze wamebaki watatu" amesema Waziri Mkuu.

Aidha Waziri Mkuu ametoa salamu kutoka kwa Rais Magufuli, ambapo amewapongeza Waislam kote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani na amewashukuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa, hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID-19.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya