Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu ampa neno Sheikh Majini

Ijumaa , 31st Jul , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewashukuru viongozi wa Dini ya Kiislamu, waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao, huku akimpa moyo Shekh Majini kwamba huenda akapitishwa kugombea nafasi ya Ubunge.

Kushoto ni sheikh Majini na kulia ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 31, 2020, wakati wa Swala ya Eid-El-Adhaa, ambayo Kitaifa imefanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, na kuwaambia kuwa wameonesha njia kwa jamii kwamba kuomba nafasi ya uongozi Serikali si ya watu kadhaa bali hata viongozi wa Dini wanaweza kufanya hivyo.

"Mwaka huu nimefurahi nimeona hata viongozi wa Kiislamu mmejitokeza kwa wingi kugombea, Sheikh Majini mchakato unaendelea tunakuombea sana, kile kikao cha mwisho kikurudishe, lakini wajumbe wale wametoa mwongozo tu maamuzi yako juu huko, tunaamini InshaAllah kule Handeni utakuwa Mbunge", amesema Waziri Mkuu.

Aidha Waziri Mkuu akatoa msisitizo kuhusu suala la Uchaguzi ulio huru na wenye haki, "Lazima tuhakikishe zoezi la uchaguzi mwaka huu linaenda kwa amani na utulivu, sisi Serikali kiongozi wetu wa nchi ametuhakikishia kwamba uchaguzi mwaka huu utakuwa wa huru na haki, tuende na hilo tusianze kujengeana mashaka na inawezekana".

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya