Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene
Hayo ameyasema katika mapokezi ya mbio za Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa wenye kauli mbiu “Sensa ni Msingi wa Mpango wa maendeleo. Shiriki kuhesabiwa tuyafikie maendeleo ya Taifa.”
“Watu wanahitaji kusikia shida zao zinazungumzwa, ni imani yangu kwamba viongozi tutaendelea kushirikiana na fedha yoyote ya mradi wa maendeleo itakayokuja tutaitumia vizuri," amesema Waziri Simbachawene