Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa Afya Kenya kushtakiwa, wapewa siku 14

Jumatano , 12th Aug , 2020

Familia ya Mbunge wa zamani wa Changamwe Ramadhan Kajembe, imetishia kumshtaki Waziri wa Afya wa Kenya Mutahi Kagwe, kwa kutoa matamshi wanayodai yaliidhalilisha familia hiyo, kuhusu maambukizi ya Corona, ambayo huenda yatapelekea unyanyapaa kwenye familia.

Waziri wa Afya nchini Kenya, Mutahi Kagwe.

Imeelezwa kuwa Mbunge huyo wa Changawe alifariki na kuzikwa nyumbani kwake huku Serikali ikisema kuwa Mbunge huyo wa zamani alifariki kutokana na Virusi vya Corona, wiki chache tu, baada ya mkewe Kajembe kufariki pia kutokana na corona.

Soud Kajembe ni mtoto wa Marehemu Kajembe amesema kuwa kitendo kilichofanywa dhidi ya Baba yao si cha kiungwana na kwamba wamelaani kitendo hicho na kuwataka wale wote waliohusika kusambaza taarifa hizo akiwemo Waziri Kagwe, Waziri wa Elimu pamoja na Gavana Sonko, kuwa maradhi waliyoyapata wazazi wao isiwe sehemu ya kufanyia siasa zao.

Familia hiyo sasa inawapa siku kumi na nne waliohusika kudhalilisha familia hiyo, Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, Waziri wa Elimu George Magohaa, na Gavana wa Nairobi Mike Sonko ambae pia, aliuweka ujumbe wa Kagwe kwenye mtandao wa kijamii, akijikuta kwenye orodha ya kushtakiwa, iwapo hawataiomba familia hiyo msamaha.

 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea