Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenye mifuko ya plastiki waambiwa cha kufanya

Ijumaa , 24th Mei , 2019

Mwanasheria Mkuu wa Baraza la Mazingira la Taifa NEMC, Vincent Haule amesema wananchi wenye mifuko ya plastiki wanatakiwa kuwasilisha mifuko yao kwenye ofisi za Serikali za mtaa ili kuhakikisha bidhaa hiyo inaondoka mtaani.

Mwanasheria huyo wa NEMC ametoa kauli hiyo akiwa kwenye kipindi cha East Afrilka BreakFast cha East Afrika Radio ambapo amesema msimamo wa Serikali ni uleule kuanzia Juni mosi litakuwa ni kosa kisheria kukutwa na mifuko ya plastiki.

"Kuanzia sasa hivi kama una mifuko ambayo imekatazwa unaweza kupeleka kwenye ofisi za Serikali za Mtaa husika, wao watajua namna ya kuhifadhi na baadaye itachukuliwa kwa ajili ya kuzichoma moto." - amesema Vincent Haule - Mwanasheria NEMC

"Mifuko mbadala iko mingi mfano vikapu, mifuko ya nguo mifuko ya karatasi, watu wasijiulize kuhusu mbadala ya mifuko, na suala la kutunza mazingira sio la muuza duka hata wewe mtumiaji ukienda dukani nenda na kikapu chako" - ameongeza Vincent Haule

Kuanzia Juni mosi 2019, Serikali imepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki na kuwataka wananchi watafute mbadala ya mifuko hiyo.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria