Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Mifugo na Uvuvi izalishe ajira- Ditopile

Jumatano , 25th Mei , 2022

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuja na Mipango kabambe ambayo itaboresha sekta hiyo ili iweze kuzalisha ajira kwa wingi kama ilivyokua miaka ya nyuma.

Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile

Ditopile ametoa kauli hiyo leo wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo Bungeni jijini Dodoma.

"Mwaka 2014/15 Tanzania tulia tunatoa tani zaidi ya 45,000 ya minofu ya Sangara na mazao yake,lakini mwaka 2021 tumetoa tani 41,000 tu, Niwe mkweli hali ya Sangara katika Ziwa Viktoria imekua mbaya Sana sijui kama Waziri hili jambo mmeliona na kulitafutia ufumbuzi.

Ukienda kuwahoji wanachinga wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa wengi walikua waajiriwa katika Viwanda vinavyochakata mazao ya Uvuvi, Viwanda hivyo kwa sasa vimepunguza uzalishaji tukumbuke mapato yaliyokua yanapatikana kupitia Sangara yaliyokua yanaleta maendeleo nchini," Amesema Ditopile.

Amemtaka Waziri wa Uvuvi Mashimba Ndaki kuja na majibu ya msingi yanayoonesha namna gani kama Wizara wamejipanga kuhakikisha wananyanyua sekta ya Uvuvi nchini ili kuweza kuipatia Nchi mapato makubwa lakini pia kusaidia kupunguza changamoto ya ajira kupitia Uvuvi.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea