Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yakanusha kuzindua dawa ya nguvu za kiume

Jumapili , 20th Oct , 2019

Wizara ya Afya maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto imekanusha taarifa ya juu Waziri Ummy Mwalimu anatarajiwa kuzindua duka maalum la linalouza nguvu za kiume, na kusema hakuna dawa iliyothibitishwa na Serikali kuanza kutumika.

Taarifa iliyotolewa na Wizara hiyo leo Oktoba 20, 2019 imewataka watanzania kupuuza taarifa hizo, na kueleza hazina ukweli wowote.

"Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inapenda kukanusha taarifa zinazosambazwa katika mitandaoni mbalimbali ya jamii ikieleza na kumtaja ‘Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu (Mb), kuzindua duka linalosifika kuuza dawa za kukuza uume hapa nchini’ kuwa hazina ukweli wowote kwani hajawahi kufika au kulifahamu duka hilo." imesema taarifa hiyo
 
"Wizara inawataka wananchi wazalendo kutambua kuwa Serikali ina utaratibu rasmi wa Kiserikali wa kutoa habari na taarifa za viongozi pale wanaposhiriki katika shughuli rasmi za kijamii na utekelezaji wa majukumu ya kisekta katika nyanja zote zinazohusika na sekta hiyo." imeendelea kueleza sehemu ya taarifa hiyo  

Aidha taarifahiyo imesema kuwa kwa kushirikiana na mamlaka za udhibiti madawa, vifaa tiba, vyombo vya dola na usalama hapa nchini, Wizara inaendelea kuwafuatilia wanaotoa taarifa hizi batili na kufanya utapeli kama huu kwetu wananchi na mara watakapobainika watafikishwa katika mkono wa sheria.  

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria