Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yakanusha kuzindua dawa ya nguvu za kiume

Jumapili , 20th Oct , 2019

Wizara ya Afya maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto imekanusha taarifa ya juu Waziri Ummy Mwalimu anatarajiwa kuzindua duka maalum la linalouza nguvu za kiume, na kusema hakuna dawa iliyothibitishwa na Serikali kuanza kutumika.

Taarifa iliyotolewa na Wizara hiyo leo Oktoba 20, 2019 imewataka watanzania kupuuza taarifa hizo, na kueleza hazina ukweli wowote.

"Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inapenda kukanusha taarifa zinazosambazwa katika mitandaoni mbalimbali ya jamii ikieleza na kumtaja ‘Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu (Mb), kuzindua duka linalosifika kuuza dawa za kukuza uume hapa nchini’ kuwa hazina ukweli wowote kwani hajawahi kufika au kulifahamu duka hilo." imesema taarifa hiyo
 
"Wizara inawataka wananchi wazalendo kutambua kuwa Serikali ina utaratibu rasmi wa Kiserikali wa kutoa habari na taarifa za viongozi pale wanaposhiriki katika shughuli rasmi za kijamii na utekelezaji wa majukumu ya kisekta katika nyanja zote zinazohusika na sekta hiyo." imeendelea kueleza sehemu ya taarifa hiyo  

Aidha taarifahiyo imesema kuwa kwa kushirikiana na mamlaka za udhibiti madawa, vifaa tiba, vyombo vya dola na usalama hapa nchini, Wizara inaendelea kuwafuatilia wanaotoa taarifa hizi batili na kufanya utapeli kama huu kwetu wananchi na mara watakapobainika watafikishwa katika mkono wa sheria.  

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala