
Mbali na hapo Shirika la Nyumba la Tanzania na Shirika la Nyumba la Zanzibar wamekubaliana kutatua changamoto za Ardhi zilizopo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha changamoto za Muungano zinatatuliwa.
Utiaji huo saini saini umeshuhudiwa na Mawaziri wa Sekta ya Ardhi Tanzania Bara na Visiwani