Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yafahamu Majimbo ambayo NEC imeyatolea maamuzi

Jumatano , 9th Sep , 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imezipitia, kuzichambua na kuzifanyia maamuzi rufaa 34, ambazo kati ya hizo imekubali rufaa 13 na kuwarejesha wagombea wa majimbo 9 na imekataa rufaa 7 za wagombea ambao hawakuteuliwa, huku pia ikikataa rufaa 14 za kupinga walioteuliwa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt Charles Mahera.

Taarifa hiyo imetolewa hii leo Septemba 9, 2020, na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt Wilson Mahera, ambapo ameyataja majina ya majimbo ambayo rufaa 13 imezikubali ikiwemo Singida Magharibi, Madaba, Ilemela, Namtumbo,  Bagamoyo, Liwale, Tunduma, Bukene na Kigamboni.

Aidha mbali na kukubali rufaa hizo 13, pia imekataa rufaa 7 za wagombea ambao hawakuteuliwa, rufaa hizo ni kutoka kwenye Majimbo ya Singida Magharibi, Bahi, Handeni Vijijini, Madaba, Singida Mashariki, Ileje, Meatu na Bukene.

Mbali na hizo NEC pia imekataa rufaa 14, za kupinga walioteuliwa kutoka katika majimbo ya Igunga, Mwanga, Mafinga, Ilala, Manonga na Kisesa.

Idadi hiyo ya leo inafanya jumla ya rufaa za wagombea Ubunge zilizofanyiwa uamuzi na Tume kufikia 89, Tume itaendelea kutoa matokeo baada ya usajili na uchambuzi wa rufaa hizo kila siku na wahusika wa rufaa hizo watajulishwa

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera