Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaidi ya watu 40 wanashikiliwa na Polisi Zanzibar.

Alhamisi , 17th Mar , 2016

Zaidi ya watu 40 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar, kwa tuhuma za kuhusishwa na matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo waliohusika na milipuko ya mabomu katika kisiwa cha Unguja.

Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga.

Akiongea na Waandishi wa habari jana Visiwani humo Waziri wa Mambo ya Ndani Charles Kitwanga amesema watu hao wanashikiliwa na jeshi la Polisi kwa upelelezi zaidi ili kubaini endapo walihusika katika matukio ya uhalifu visiwani humo.

Aidha Mhe. Charles Kitwanga ametumia fursa hiyo kuwatoa wasiwasiwa Wananchi wa visiwa hivyo na kuwataka kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi wa marudio unaotarajiwa kufunyika Machi 20 mwaka huu.

Pia Waziri huyo wa Mambo ya Ndani amekanusha taarifa zinazotolewa na baadhi ya vyombo vya habari juu ya watu wanaokimbia visiwa hivyo wakihofia usalama wao na kuainisha kuwa taarifa hizo ni uzushi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala