Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ziara ya Rais Samia Falme za Kiarabu zazaa matunda

Ijumaa , 1st Jul , 2022

Mkoa wa Njombe umepokea wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu, wenye lengo la kuwekeza kwenye uzalishaji wa Parachichi, Macademia nuts pamoja na uwekezaji katika sekta ya utalii, yakiwa ni matunda ya filamu ya The Royal Tour iliyofanywa na Rais Samia.

Kulia ni Rais Samia Suluhu Hassan, na kushoto ni wawekezaji kutoka nchi za Falme za Kiarabu

Katibu Tawala wa mkoa wa njombe Judica Omary, amesema kufika kwa wawekezaji hao mkoani Njombe, kunaenda kufungua uwanja mpana wa masoko wa zao la Parachichi.

Kwa upande wake Mbunge wa Afrika Mashariki Fensi Haji Mkuhi, amesema kuwa licha ya wao kuwa na wajibu wa kutunga sheria pia wanalo jukumu la kushawishi wawekezaji kuja kuwekeza nchini hususani mkoani Njombe ambako ndio wazalishaji wakubwa wa zao la Parachichi.

Kwa upande wao wamiliki wa makampuni Bakoin wamesema kutokana na jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na filamu ya Royal Tour, kumewapa hamasa ya kuunga juhudi za Rais katika kuvutia wawekezaji.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi