Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto Tanzania, Puyo Nzalayaimisi
Kauli hiyo imetolewa na Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto Tanzania Puyo Nzalayaimisi, wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari vya makampuni ya IPP Media, ambapo aliongozana na maafisa habari wa jeshi hilo kutoka mikoa mbalimbali ya zimamoto mkoani Dar es Salaam.
Kwa upande wake Mkaguzi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Ilala Elinimo Shang'a, ameeleza matembezi ya jeshi hilo yatakayowahusisha na wamachinga katika uhamasishaji kwa wananchi kutumia namba ya dharura ya jeshi hilo katika kupata usaidizi pindi majanga yanapotokea.

